Adh-Dhariyat · 19/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ ۝١٩
Wa feee amwaalihim haqqul lissaaa`ili walmahroom
📖 Kwa Kiswahili
Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 17-21 — Adh-Dhariyat

17كَانُوا قَلِيلًا مِّنَ اللَّيْلِ مَا يَهْجَعُونَ
Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.
18وَبِالْأَسْحَارِ هُمْ يَسْتَغْفِرُونَ
Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.
19وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
20وَفِي الْأَرْضِ آيَاتٌ لِّلْمُوقِنِينَ
Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
21وَفِي أَنفُسِكُمْ ۚ أَفَلَا تُبْصِرُونَ
Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni?
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 19

Sura Adh-Dhariyat Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na…

Sura Aya 19/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 17–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema