Adh-Dhariyat · 21/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
وَفِي أَنفُسِكُمْ ۚ أَفَلَا تُبْصِرُونَ ۝٢١
Wa feee anfusikum; afalaa tubsiroon
📖 Kwa Kiswahili
Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 19-23 — Adh-Dhariyat

19وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
20وَفِي الْأَرْضِ آيَاتٌ لِّلْمُوقِنِينَ
Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
21وَفِي أَنفُسِكُمْ ۚ أَفَلَا تُبْصِرُونَ
Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni?
22وَفِي السَّمَاءِ رِزْقُكُمْ وَمَا تُوعَدُونَ
Na katika mbingu ziko riziki zenu na mliyo ahidiwa.
23فَوَرَبِّ السَّمَاءِ وَالْأَرْضِ إِنَّهُ لَحَقٌّ مِّثْلَ مَا أَنَّكُمْ تَنطِقُونَ
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, hakika haya ni kweli kama ilivyo kweli kuwa nyinyi mnasema.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
21Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 21

Sura Adh-Dhariyat Aya 21 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na pia katika nafsi zenu - Je! Hamwoni?

Sura Aya 21/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 19–23. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema