Ar-Rahman · 11/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
فِيهَا فَاكِهَةٌ وَالنَّخْلُ ذَاتُ الْأَكْمَامِ ۝١١
Feehaa faakihatunw wan nakhlu zaatul akmaam
📖 Kwa Kiswahili
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 9-13 — Ar-Rahman

9وَأَقِيمُوا الْوَزْنَ بِالْقِسْطِ وَلَا تُخْسِرُوا الْمِيزَانَ
Na wekeni mizani kwa haki, wala msipunje katika mizani.
10وَالْأَرْضَ وَضَعَهَا لِلْأَنَامِ
Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe.
11فِيهَا فَاكِهَةٌ وَالنَّخْلُ ذَاتُ الْأَكْمَامِ
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.
12وَالْحَبُّ ذُو الْعَصْفِ وَالرَّيْحَانُ
Na nafaka zenye makapi, na rehani.
13فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
11Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 11

Sura Ar-Rahman Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.

Sura Aya 11/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema