Ar-Rahman · 69/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ۝٦٩
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
📖 Kwa Kiswahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 67-71 — Ar-Rahman

67فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
68فِيهِمَا فَاكِهَةٌ وَنَخْلٌ وَرُمَّانٌ
Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.
69فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
70فِيهِنَّ خَيْرَاتٌ حِسَانٌ
Humo wamo wanawake wema wazuri.
71فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
69Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 69

Sura Ar-Rahman Aya 69 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo…

Sura Aya 69/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 67–71. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema