Ar-Rahman · 68/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
فِيهِمَا فَاكِهَةٌ وَنَخْلٌ وَرُمَّانٌ ۝٦٨
Feehimaa faakihatunw wa nakhlunw wa rummaan
📖 Kwa Kiswahili
Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 66-70 — Ar-Rahman

66فِيهِمَا عَيْنَانِ نَضَّاخَتَانِ
Na chemchem mbili zinazo furika.
67فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
68فِيهِمَا فَاكِهَةٌ وَنَخْلٌ وَرُمَّانٌ
Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.
69فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
70فِيهِنَّ خَيْرَاتٌ حِسَانٌ
Humo wamo wanawake wema wazuri.
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
68Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 68

Sura Ar-Rahman Aya 68 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.

Sura Aya 68/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 66–70. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema