Al-Waqi'a · 70/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
لَوْ نَشَاءُ جَعَلْنَاهُ أُجَاجًا فَلَوْلَا تَشْكُرُونَ ۝٧٠
Law nashaaa`u ja`alnaahu ujaajan falaw laa tashkuroon
📖 Kwa Kiswahili
Tungeli penda tungeli yafanya ya chumvi. Basi mbona hamshukuru?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 68-72 — Al-Waqi'a

68أَفَرَأَيْتُمُ الْمَاءَ الَّذِي تَشْرَبُونَ
Je! Mnayaona maji mnayo yanywa?
69أَأَنتُمْ أَنزَلْتُمُوهُ مِنَ الْمُزْنِ أَمْ نَحْنُ الْمُنزِلُونَ
Je! Ni nyinyi mnayo yateremsha kutoka mawinguni au ni Sisi ndio wenye kuyateremsha?
70لَوْ نَشَاءُ جَعَلْنَاهُ أُجَاجًا فَلَوْلَا تَشْكُرُونَ
Tungeli penda tungeli yafanya ya chumvi. Basi mbona hamshukuru?
71أَفَرَأَيْتُمُ النَّارَ الَّتِي تُورُونَ
Je! Mnauona moto mnao uwasha?
72أَأَنتُمْ أَنشَأْتُمْ شَجَرَتَهَا أَمْ نَحْنُ الْمُنشِئُونَ
Ni nyinyi mlio uumba mti wake au Sisi ndio Waumbaji?
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
70Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 70

Sura Al-Waqi'a Aya 70 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tungeli penda tungeli yafanya ya chumvi. Basi mbona hamshukuru?

Sura Aya 70/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 68–72. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema