Al-Ma'arij · 34/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ ۝٣٤
Wallazeena hum `alaa salaatihim yuhaafizoon
📖 Kwa Kiswahili
Na ambao wanazihifadhi Sala zao.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 32-36 — Al-Ma'arij

32وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ
Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
33وَالَّذِينَ هُم بِشَهَادَاتِهِمْ قَائِمُونَ
Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,
34وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ
Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
35أُولَٰئِكَ فِي جَنَّاتٍ مُّكْرَمُونَ
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
36فَمَالِ الَّذِينَ كَفَرُوا قِبَلَكَ مُهْطِعِينَ
Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
34Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 34

Sura Al-Ma'arij Aya 34 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ambao wanazihifadhi Sala zao.

Sura Aya 34/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 32–36. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema