Al-Ma'arij · 35/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
أُولَٰئِكَ فِي جَنَّاتٍ مُّكْرَمُونَ ۝٣٥
Ulaaa`ika fee jannaatim mukramoon
📖 Kwa Kiswahili
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 33-37 — Al-Ma'arij

33وَالَّذِينَ هُم بِشَهَادَاتِهِمْ قَائِمُونَ
Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,
34وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ
Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
35أُولَٰئِكَ فِي جَنَّاتٍ مُّكْرَمُونَ
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
36فَمَالِ الَّذِينَ كَفَرُوا قِبَلَكَ مُهْطِعِينَ
Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
37عَنِ الْيَمِينِ وَعَنِ الشِّمَالِ عِزِينَ
Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
35Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 35

Sura Al-Ma'arij Aya 35 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.

Sura Aya 35/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 33–37. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema