Al-Ma'arij · 33/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
وَالَّذِينَ هُم بِشَهَادَاتِهِمْ قَائِمُونَ ۝٣٣
Wallazeena hum bishahaadaatihim qaaa`imoon
📖 Kwa Kiswahili
Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 31-35 — Al-Ma'arij

31فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ
Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
32وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ
Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
33وَالَّذِينَ هُم بِشَهَادَاتِهِمْ قَائِمُونَ
Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,
34وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ
Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
35أُولَٰئِكَ فِي جَنَّاتٍ مُّكْرَمُونَ
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
33Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 33

Sura Al-Ma'arij Aya 33 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,

Sura Aya 33/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 31–35. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema