Nuh · 11/28
Tafsiri Uandishi wa sauti — Nuh
يُرْسِلِ السَّمَاءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًا ۝١١
Yursilis samaaa`a `alaikum midraaraa
📖 Kwa Kiswahili
Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 9-13 — Nuh

9ثُمَّ إِنِّي أَعْلَنتُ لَهُمْ وَأَسْرَرْتُ لَهُمْ إِسْرَارًا
Kisha nikawatangazia kwa kelele, tena nikasema nao kwa siri.
10فَقُلْتُ اسْتَغْفِرُوا رَبَّكُمْ إِنَّهُ كَانَ غَفَّارًا
Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe.
11يُرْسِلِ السَّمَاءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًا
Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo.
12وَيُمْدِدْكُم بِأَمْوَالٍ وَبَنِينَ وَيَجْعَل لَّكُمْ جَنَّاتٍ وَيَجْعَل لَّكُمْ أَنْهَارًا
Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
13مَّا لَكُمْ لَا تَرْجُونَ لِلَّهِ وَقَارًا
Mna nini hamweki heshima ya Mwenyezi Mungu?
NuhFaharasa ya Qurani
28Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — Nuh 11

Sura Nuh Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo.

Sura Aya 11/28 — Nuh نوح (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Nuh Sikiliza, Nuh Tafsiri, Nuh mp3, Nuh pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema