Nuh · 10/28
Tafsiri Uandishi wa sauti — Nuh
فَقُلْتُ اسْتَغْفِرُوا رَبَّكُمْ إِنَّهُ كَانَ غَفَّارًا ۝١٠
Faqultus taghfiroo Rabakam innahoo kaana Ghaffaaraa
📖 Kwa Kiswahili
Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 8-12 — Nuh

8ثُمَّ إِنِّي دَعَوْتُهُمْ جِهَارًا
Tena niliwaita kwa uwazi,
9ثُمَّ إِنِّي أَعْلَنتُ لَهُمْ وَأَسْرَرْتُ لَهُمْ إِسْرَارًا
Kisha nikawatangazia kwa kelele, tena nikasema nao kwa siri.
10فَقُلْتُ اسْتَغْفِرُوا رَبَّكُمْ إِنَّهُ كَانَ غَفَّارًا
Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe.
11يُرْسِلِ السَّمَاءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًا
Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo.
12وَيُمْدِدْكُم بِأَمْوَالٍ وَبَنِينَ وَيَجْعَل لَّكُمْ جَنَّاتٍ وَيَجْعَل لَّكُمْ أَنْهَارًا
Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
NuhFaharasa ya Qurani
28Aya
MakkaRevelation
10Aya

Tafsiri — Nuh 10

Sura Nuh Aya 10 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni…

Sura Aya 10/28 — Nuh نوح (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Nuh Sikiliza, Nuh Tafsiri, Nuh mp3, Nuh pdf. Aya 8–12. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema