Nuh · 12/28
Tafsiri Uandishi wa sauti — Nuh
وَيُمْدِدْكُم بِأَمْوَالٍ وَبَنِينَ وَيَجْعَل لَّكُمْ جَنَّاتٍ وَيَجْعَل لَّكُمْ أَنْهَارًا ۝١٢
Wa yumdidkum bi am waalinw wa baneena wa yaj`al lakum Jannaatinw wa yaj`al lakum anhaaraa
📖 Kwa Kiswahili
Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 10-14 — Nuh

10فَقُلْتُ اسْتَغْفِرُوا رَبَّكُمْ إِنَّهُ كَانَ غَفَّارًا
Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe.
11يُرْسِلِ السَّمَاءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًا
Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo.
12وَيُمْدِدْكُم بِأَمْوَالٍ وَبَنِينَ وَيَجْعَل لَّكُمْ جَنَّاتٍ وَيَجْعَل لَّكُمْ أَنْهَارًا
Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
13مَّا لَكُمْ لَا تَرْجُونَ لِلَّهِ وَقَارًا
Mna nini hamweki heshima ya Mwenyezi Mungu?
14وَقَدْ خَلَقَكُمْ أَطْوَارًا
Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?
NuhFaharasa ya Qurani
28Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — Nuh 12

Sura Nuh Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni…

Sura Aya 12/28 — Nuh نوح (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Nuh Sikiliza, Nuh Tafsiri, Nuh mp3, Nuh pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema