Al-Qiyama · 25/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
تَظُنُّ أَن يُفْعَلَ بِهَا فَاقِرَةٌ ۝٢٥
Tazunnu any yuf`ala bihaa faaqirah
📖 Kwa Kiswahili
Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 23-27 — Al-Qiyama

23إِلَىٰ رَبِّهَا نَاظِرَةٌ
Zinamwangallia Mola wao Mlezi.
24وَوُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ بَاسِرَةٌ
Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.
25تَظُنُّ أَن يُفْعَلَ بِهَا فَاقِرَةٌ
Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.
26كَلَّا إِذَا بَلَغَتِ التَّرَاقِيَ
La, hasha! (Roho) itakapo fikia kwenye mafupa ya koo,
27وَقِيلَ مَنْ ۜ رَاقٍ
Na pakasemwa: Nani wa kumganga?
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
25Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 25

Sura Al-Qiyama Aya 25 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.

Sura Aya 25/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 23–27. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema