Al-Qiyama · 24/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
وَوُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ بَاسِرَةٌ ۝٢٤
Wa wujoohuny yawma `izim baasirah
📖 Kwa Kiswahili
Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 22-26 — Al-Qiyama

22وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاضِرَةٌ
Zipo nyuso siku hiyo zitao ng'ara,
23إِلَىٰ رَبِّهَا نَاظِرَةٌ
Zinamwangallia Mola wao Mlezi.
24وَوُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ بَاسِرَةٌ
Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.
25تَظُنُّ أَن يُفْعَلَ بِهَا فَاقِرَةٌ
Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.
26كَلَّا إِذَا بَلَغَتِ التَّرَاقِيَ
La, hasha! (Roho) itakapo fikia kwenye mafupa ya koo,
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
24Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 24

Sura Al-Qiyama Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.

Sura Aya 24/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema