Al-Mursalat · 34/50
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mursalat
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ ۝٣٤
Wailuny yawma `izil lilmukazibeen
📖 Kwa Kiswahili
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 32-36 — Al-Mursalat

32إِنَّهَا تَرْمِي بِشَرَرٍ كَالْقَصْرِ
Hakika Moto huo unatoa macheche kama majumba!
33كَأَنَّهُ جِمَالَتٌ صُفْرٌ
Kama kwamba ni ngamia wa rangi ya manjano!
34وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
35هَٰذَا يَوْمُ لَا يَنطِقُونَ
Hii ni siku ambayo hawatatamka kitu,
36وَلَا يُؤْذَنُ لَهُمْ فَيَعْتَذِرُونَ
Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.
Al-MursalatFaharasa ya Qurani
50Aya
MakkaRevelation
34Aya

Tafsiri — Al-Mursalat 34

Sura Al-Mursalat Aya 34 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!

Sura Aya 34/50 — Al-Mursalat المرسلات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mursalat Sikiliza, Al-Mursalat Tafsiri, Al-Mursalat mp3, Al-Mursalat pdf. Aya 32–36. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema