Al-Mursalat · 36/50
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mursalat
وَلَا يُؤْذَنُ لَهُمْ فَيَعْتَذِرُونَ ۝٣٦
Wa laa yu`zanu lahum fa ya`taziroon
📖 Kwa Kiswahili
Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 34-38 — Al-Mursalat

34وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
35هَٰذَا يَوْمُ لَا يَنطِقُونَ
Hii ni siku ambayo hawatatamka kitu,
36وَلَا يُؤْذَنُ لَهُمْ فَيَعْتَذِرُونَ
Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.
37وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo hao walio kanusha!
38هَٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ ۖ جَمَعْنَاكُمْ وَالْأَوَّلِينَ
Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia.
Al-MursalatFaharasa ya Qurani
50Aya
MakkaRevelation
36Aya

Tafsiri — Al-Mursalat 36

Sura Al-Mursalat Aya 36 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.

Sura Aya 36/50 — Al-Mursalat المرسلات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mursalat Sikiliza, Al-Mursalat Tafsiri, Al-Mursalat mp3, Al-Mursalat pdf. Aya 34–38. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema