An-Nazi'at · 25/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
فَأَخَذَهُ اللَّهُ نَكَالَ الْآخِرَةِ وَالْأُولَىٰ ۝٢٥
Fa-akha zahul laahu nakalal aakhirati wal-oola
📖 Kwa Kiswahili
Basi hapo Mwenyezi Mungu akamshika kumuadhibu kwa la mwisho na la mwanzo.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 23-27 — An-Nazi'at

23فَحَشَرَ فَنَادَىٰ
Akakusanya watu akanadi.
24فَقَالَ أَنَا رَبُّكُمُ الْأَعْلَىٰ
Akasema: Mimi ndiye Mola wenu Mlezi mkuu kabisa.
25فَأَخَذَهُ اللَّهُ نَكَالَ الْآخِرَةِ وَالْأُولَىٰ
Basi hapo Mwenyezi Mungu akamshika kumuadhibu kwa la mwisho na la mwanzo.
26إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَعِبْرَةً لِّمَن يَخْشَىٰ
Kwa hakika katika haya yapo mazingatio kwa wanao ogopa.
27أَأَنتُمْ أَشَدُّ خَلْقًا أَمِ السَّمَاءُ ۚ بَنَاهَا
Je! Ni vigumu zaidi kukuumbeni nyinyi au mbingu? Yeye ndiye aliye ijenga!
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
25Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 25

Sura An-Nazi'at Aya 25 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi hapo Mwenyezi Mungu akamshika kumuadhibu kwa la mwisho na…

Sura Aya 25/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 23–27. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema