An-Nazi'at · 26/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَعِبْرَةً لِّمَن يَخْشَىٰ ۝٢٦
Inna fee zaalika la`ibratal limaiy-yaksha
📖 Kwa Kiswahili
Kwa hakika katika haya yapo mazingatio kwa wanao ogopa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 24-28 — An-Nazi'at

24فَقَالَ أَنَا رَبُّكُمُ الْأَعْلَىٰ
Akasema: Mimi ndiye Mola wenu Mlezi mkuu kabisa.
25فَأَخَذَهُ اللَّهُ نَكَالَ الْآخِرَةِ وَالْأُولَىٰ
Basi hapo Mwenyezi Mungu akamshika kumuadhibu kwa la mwisho na la mwanzo.
26إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَعِبْرَةً لِّمَن يَخْشَىٰ
Kwa hakika katika haya yapo mazingatio kwa wanao ogopa.
27أَأَنتُمْ أَشَدُّ خَلْقًا أَمِ السَّمَاءُ ۚ بَنَاهَا
Je! Ni vigumu zaidi kukuumbeni nyinyi au mbingu? Yeye ndiye aliye ijenga!
28رَفَعَ سَمْكَهَا فَسَوَّاهَا
Akainua kimo chake, na akaitengeneza vizuri.
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
26Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 26

Sura An-Nazi'at Aya 26 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa hakika katika haya yapo mazingatio kwa wanao ogopa.

Sura Aya 26/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 24–28. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema