Al-Ghashiya · 23/26
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ghashiya
إِلَّا مَن تَوَلَّىٰ وَكَفَرَ ۝٢٣
Illaa man tawallaa wa kafar
📖 Kwa Kiswahili
Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 21-25 — Al-Ghashiya

21فَذَكِّرْ إِنَّمَا أَنتَ مُذَكِّرٌ
Basi kumbusha! Hakika wewe ni Mkumbushaji.
22لَّسْتَ عَلَيْهِم بِمُصَيْطِرٍ
Wewe si mwenye kuwatawalia.
23إِلَّا مَن تَوَلَّىٰ وَكَفَرَ
Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,
24فَيُعَذِّبُهُ اللَّهُ الْعَذَابَ الْأَكْبَرَ
Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu iliyo kubwa kabisa!
25إِنَّ إِلَيْنَا إِيَابَهُمْ
Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.
Al-GhashiyaFaharasa ya Qurani
26Aya
MakkaRevelation
23Aya

Tafsiri — Al-Ghashiya 23

Sura Al-Ghashiya Aya 23 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,

Sura Aya 23/26 — Al-Ghashiya الغاشية (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ghashiya Sikiliza, Al-Ghashiya Tafsiri, Al-Ghashiya mp3, Al-Ghashiya pdf. Aya 21–25. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema