Al-Balad · 18/20
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Balad
أُولَٰئِكَ أَصْحَابُ الْمَيْمَنَةِ ۝١٨
Ulaaa`ika As-haabul maimanah
📖 Kwa Kiswahili
Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 16-20 — Al-Balad

16أَوْ مِسْكِينًا ذَا مَتْرَبَةٍ
Au masikini aliye vumbini.
17ثُمَّ كَانَ مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا وَتَوَاصَوْا بِالصَّبْرِ وَتَوَاصَوْا بِالْمَرْحَمَةِ
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
18أُولَٰئِكَ أَصْحَابُ الْمَيْمَنَةِ
Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.
19وَالَّذِينَ كَفَرُوا بِآيَاتِنَا هُمْ أَصْحَابُ الْمَشْأَمَةِ
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.
20عَلَيْهِمْ نَارٌ مُّؤْصَدَةٌ
Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.
Al-BaladFaharasa ya Qurani
20Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — Al-Balad 18

Sura Al-Balad Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.

Sura Aya 18/20 — Al-Balad البلد (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Balad Sikiliza, Al-Balad Tafsiri, Al-Balad mp3, Al-Balad pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema