Al-Balad · 17/20
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Balad
ثُمَّ كَانَ مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا وَتَوَاصَوْا بِالصَّبْرِ وَتَوَاصَوْا بِالْمَرْحَمَةِ ۝١٧
Summa kaana minal lazeena aamanoo wa tawaasaw bissabri wa tawaasaw bilmarhamah
📖 Kwa Kiswahili
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 15-19 — Al-Balad

15يَتِيمًا ذَا مَقْرَبَةٍ
Yatima aliye jamaa,
16أَوْ مِسْكِينًا ذَا مَتْرَبَةٍ
Au masikini aliye vumbini.
17ثُمَّ كَانَ مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا وَتَوَاصَوْا بِالصَّبْرِ وَتَوَاصَوْا بِالْمَرْحَمَةِ
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
18أُولَٰئِكَ أَصْحَابُ الْمَيْمَنَةِ
Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.
19وَالَّذِينَ كَفَرُوا بِآيَاتِنَا هُمْ أَصْحَابُ الْمَشْأَمَةِ
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.
Al-BaladFaharasa ya Qurani
20Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — Al-Balad 17

Sura Al-Balad Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na…

Sura Aya 17/20 — Al-Balad البلد (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Balad Sikiliza, Al-Balad Tafsiri, Al-Balad mp3, Al-Balad pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema