Al-Bayyina · 3/8
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Bayyina
فِيهَا كُتُبٌ قَيِّمَةٌ ٣
Transliteration
Feeha kutubun qaiyimah
Tafsiri (Kwa Kiswahili)
📖 Kwa Kiswahili
Ndani yake mna maandiko yaliyo nyooka.
Additional reference in Soomaali
🎧 Sikiliza
📜 Aya 1-5 — Al-Bayyina
1لَمْ يَكُنِ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ وَالْمُشْرِكِينَ مُنفَكِّينَ حَتَّىٰ تَأْتِيَهُمُ الْبَيِّنَةُ
Hawakuwa walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu na washirikina waache walio nayo mpaka iwajie bayana,
2رَسُولٌ مِّنَ اللَّهِ يَتْلُو صُحُفًا مُّطَهَّرَةً
Yaani Mtume aliye toka kwa Mwenyezi Mungu anaye wasomea kurasa zilizo takasika,
3فِيهَا كُتُبٌ قَيِّمَةٌ
Ndani yake mna maandiko yaliyo nyooka.
4وَمَا تَفَرَّقَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَتْهُمُ الْبَيِّنَةُ
Wala hawakufarikiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia hiyo bayana.
5وَمَا أُمِرُوا إِلَّا لِيَعْبُدُوا اللَّهَ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ حُنَفَاءَ وَيُقِيمُوا الصَّلَاةَ وَيُؤْتُوا الزَّكَاةَ ۚ وَذَٰلِكَ دِينُ الْقَيِّمَةِ
Nao hawakuamrishwa kitu ila wamuabudu Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia Dini, wawe waongofu, na washike Sala, na watoe Zaka. Na hiyo ndiyo Dini madhubuti.
Al-BayyinaFaharasa ya Qurani
8Aya
MadinaRevelation
3Aya
Tafsiri — Al-Bayyina 3
Sura Al-Bayyina Aya 3 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ndani yake mna maandiko yaliyo nyooka.Sura Aya 3/8 — Al-Bayyina البينة (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Bayyina Sikiliza, Al-Bayyina Tafsiri, Al-Bayyina mp3, Al-Bayyina pdf. Aya 1–5. Kwa Kiswahili: Soomaali.
العربية
English
Bahasa Indonesia
Türkçe
Русский
فارسی
Français
اردو
বাংলা
Deutsch
Español
中文
हिन्दी
Português
Italiano
ภาษาไทย
Polski
Nederlands
Shqip
Kiswahili
O'zbek
தமிழ்
Melayu
Bosanski
Soomaali
Azərbaycan
کوردی
한국어
日本語
Svenska
Dansk
Norsk
پښتو
മലയാളം
සිංහල
Tamazight
Hausa
አማርኛ
Български
Тоҷикӣ
Қазақша
Filipino
سنڌي
Yorùbá
Fulfulde
Татарча
ئۇيغۇرچە
Кыргызча
ਪੰਜਾਬੀ
Jawa
తెలుగు
မြန်မာ
ગુજરાતી
Oromo
मराठी
Tiếng Việt
Malagasy
Нохчийн
Wolof
ދިވެހި
ಕನ್ನಡ
Українська
Ελληνικά
ქართული
ខ្មែរ
دری
Qafar af
Maranao
नेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema








