Maryam · 2/98
Tafsiri Uandishi wa sauti — Maryam
ذِكْرُ رَحْمَتِ رَبِّكَ عَبْدَهُ زَكَرِيَّا ۝٢
Zikru rahmati Rabbika `abdahoo Zakariyya
📖 Kwa Kiswahili
Huu ni Ukumbusho wa rehema ya Mola wako Mlezi kwa mja wake, Zakariya.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-4 — Maryam

1كهيعص
Kaf Ha Ya A'yn S'ad
2ذِكْرُ رَحْمَتِ رَبِّكَ عَبْدَهُ زَكَرِيَّا
Huu ni Ukumbusho wa rehema ya Mola wako Mlezi kwa mja wake, Zakariya.
3إِذْ نَادَىٰ رَبَّهُ نِدَاءً خَفِيًّا
Alipo mwita Mola wake Mlezi kwa siri.
4قَالَ رَبِّ إِنِّي وَهَنَ الْعَظْمُ مِنِّي وَاشْتَعَلَ الرَّأْسُ شَيْبًا وَلَمْ أَكُن بِدُعَائِكَ رَبِّ شَقِيًّا
Akasema: Mola wangu Mlezi! Mafupa yangu yamedhoofika, na kichwa kinameremeta kwa mvi; wala, Mola wangu Mlezi, sikuwa mwenye bahati mbaya kwa kukuomba Wewe.
MaryamFaharasa ya Qurani
98Aya
MakkaRevelation
2Aya

Tafsiri — Maryam 2

Sura Maryam Aya 2 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Huu ni Ukumbusho wa rehema ya Mola wako Mlezi kwa…

Sura Aya 2/98 — Maryam مريم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Maryam Sikiliza, Maryam Tafsiri, Maryam mp3, Maryam pdf. Aya 1–4. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema