Taha · 22/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
وَاضْمُمْ يَدَكَ إِلَىٰ جَنَاحِكَ تَخْرُجْ بَيْضَاءَ مِنْ غَيْرِ سُوءٍ آيَةً أُخْرَىٰ ۝٢٢
Wadmum yadaka ilaa janaahika takhruj baidaaa`a min ghairi sooo`in Aayatan ukhraa
📖 Kwa Kiswahili
Na uambatishe mkono wako kwenye ubavu. Utatoka mweupe pasipo kuwa na madhara yoyote. Hiyo ni ishara nyengine.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 20-24 — Taha

20فَأَلْقَاهَا فَإِذَا هِيَ حَيَّةٌ تَسْعَىٰ
Akaitupa. Mara ikawa nyoka anaye kwenda mbio.
21قَالَ خُذْهَا وَلَا تَخَفْ ۖ سَنُعِيدُهَا سِيرَتَهَا الْأُولَىٰ
Akasema: Ikamate, wala usiogope! Tutairudisha hali yake ya kwanza.
22وَاضْمُمْ يَدَكَ إِلَىٰ جَنَاحِكَ تَخْرُجْ بَيْضَاءَ مِنْ غَيْرِ سُوءٍ آيَةً أُخْرَىٰ
Na uambatishe mkono wako kwenye ubavu. Utatoka mweupe pasipo kuwa na madhara yoyote. Hiyo ni ishara nyengine.
23لِنُرِيَكَ مِنْ آيَاتِنَا الْكُبْرَى
Ili tukuonyeshe baadhi ya ishara zetu kubwa.
24اذْهَبْ إِلَىٰ فِرْعَوْنَ إِنَّهُ طَغَىٰ
Nenda kwa Firauni; kwani hakika yeye amepindukia mipaka.
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
22Aya

Tafsiri — Taha 22

Sura Taha Aya 22 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na uambatishe mkono wako kwenye ubavu. Utatoka mweupe pasipo kuwa…

Sura Aya 22/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 20–24. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema