As-Saffat · 127/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَكَذَّبُوهُ فَإِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ ۝١٢٧
Fakazzaboohu fa inna hum lamuhdaroon
📖 Kwa Kiswahili
Wakamkadhibisha. Basi kwa hakika watahudhurishwa;

🎧 Sikiliza


📜 Aya 125-129 — As-Saffat

125أَتَدْعُونَ بَعْلًا وَتَذَرُونَ أَحْسَنَ الْخَالِقِينَ
Mnamwomba Baa'li na mnamwacha Mbora wa waumbaji,
126اللَّهَ رَبَّكُمْ وَرَبَّ آبَائِكُمُ الْأَوَّلِينَ
Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu na Mola Mlezi wa baba zenu wa zamani?
127فَكَذَّبُوهُ فَإِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ
Wakamkadhibisha. Basi kwa hakika watahudhurishwa;
128إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.
129وَتَرَكْنَا عَلَيْهِ فِي الْآخِرِينَ
Na tumemwachia (sifa nzuri) kwa walio kuja baadaye.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
127Aya

Tafsiri — As-Saffat 127

Sura As-Saffat Aya 127 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakamkadhibisha. Basi kwa hakika watahudhurishwa;

Sura Aya 127/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 125–129. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema