As-Saffat · 128/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ ۝١٢٨
Illaa `ibaadal laahil mukhlaseen
📖 Kwa Kiswahili
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 126-130 — As-Saffat

126اللَّهَ رَبَّكُمْ وَرَبَّ آبَائِكُمُ الْأَوَّلِينَ
Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu na Mola Mlezi wa baba zenu wa zamani?
127فَكَذَّبُوهُ فَإِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ
Wakamkadhibisha. Basi kwa hakika watahudhurishwa;
128إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.
129وَتَرَكْنَا عَلَيْهِ فِي الْآخِرِينَ
Na tumemwachia (sifa nzuri) kwa walio kuja baadaye.
130سَلَامٌ عَلَىٰ إِلْ يَاسِينَ
Iwe salama kwa Ilyas.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
128Aya

Tafsiri — As-Saffat 128

Sura As-Saffat Aya 128 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.

Sura Aya 128/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 126–130. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema