As-Saffat · 24/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَقِفُوهُمْ ۖ إِنَّهُم مَّسْئُولُونَ ۝٢٤
Wa qifoohum innahum mas`ooloon
📖 Kwa Kiswahili
Na wasimamisheni. Hakika hao watasailiwa:

🎧 Sikiliza


📜 Aya 22-26 — As-Saffat

22۞ احْشُرُوا الَّذِينَ ظَلَمُوا وَأَزْوَاجَهُمْ وَمَا كَانُوا يَعْبُدُونَ
Wakusanyeni walio dhulumu, na wake zao, na hao walio kuwa wakiwaabudu -
23مِن دُونِ اللَّهِ فَاهْدُوهُمْ إِلَىٰ صِرَاطِ الْجَحِيمِ
Badala ya Mwenyezi Mungu. Waongozeni njia ya Jahannamu!
24وَقِفُوهُمْ ۖ إِنَّهُم مَّسْئُولُونَ
Na wasimamisheni. Hakika hao watasailiwa:
25مَا لَكُمْ لَا تَنَاصَرُونَ
Mna nini? Mbona hamsaidiani?
26بَلْ هُمُ الْيَوْمَ مُسْتَسْلِمُونَ
Bali hii leo, watasalimu amri.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
24Aya

Tafsiri — As-Saffat 24

Sura As-Saffat Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wasimamisheni. Hakika hao watasailiwa:

Sura Aya 24/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, August 19, 2026

Usitusahau katika dua zako njema