As-Saffat · 23/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
مِن دُونِ اللَّهِ فَاهْدُوهُمْ إِلَىٰ صِرَاطِ الْجَحِيمِ ۝٢٣
Min doonil laahi fahdoohum ilaa siraatil Jaheem
📖 Kwa Kiswahili
Badala ya Mwenyezi Mungu. Waongozeni njia ya Jahannamu!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 21-25 — As-Saffat

21هَٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ
Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.
22۞ احْشُرُوا الَّذِينَ ظَلَمُوا وَأَزْوَاجَهُمْ وَمَا كَانُوا يَعْبُدُونَ
Wakusanyeni walio dhulumu, na wake zao, na hao walio kuwa wakiwaabudu -
23مِن دُونِ اللَّهِ فَاهْدُوهُمْ إِلَىٰ صِرَاطِ الْجَحِيمِ
Badala ya Mwenyezi Mungu. Waongozeni njia ya Jahannamu!
24وَقِفُوهُمْ ۖ إِنَّهُم مَّسْئُولُونَ
Na wasimamisheni. Hakika hao watasailiwa:
25مَا لَكُمْ لَا تَنَاصَرُونَ
Mna nini? Mbona hamsaidiani?
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
23Aya

Tafsiri — As-Saffat 23

Sura As-Saffat Aya 23 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Badala ya Mwenyezi Mungu. Waongozeni njia ya Jahannamu!

Sura Aya 23/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 21–25. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema