As-Saffat · 3/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَالتَّالِيَاتِ ذِكْرًا ۝٣
Fattaaliyaati Zikra
📖 Kwa Kiswahili
Na kwa wenye kusoma Ukumbusho.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-5 — As-Saffat

1وَالصَّافَّاتِ صَفًّا
Naapa kwa wanao jipanga kwa safu.
2فَالزَّاجِرَاتِ زَجْرًا
Na kwa wenye kukataza mabaya.
3فَالتَّالِيَاتِ ذِكْرًا
Na kwa wenye kusoma Ukumbusho.
4إِنَّ إِلَٰهَكُمْ لَوَاحِدٌ
Hakika Mungu wenu bila ya shaka ni Mmoja.
5رَّبُّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا وَرَبُّ الْمَشَارِقِ
Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na yaliyomo kati yao, na ni Mola Mlezi wa mashariki zote.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
3Aya

Tafsiri — As-Saffat 3

Sura As-Saffat Aya 3 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwa wenye kusoma Ukumbusho.

Sura Aya 3/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 1–5. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema