Adh-Dhariyat · 41/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
وَفِي عَادٍ إِذْ أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمُ الرِّيحَ الْعَقِيمَ ۝٤١
Wa fee `Aadin iz arsalnaa `alaihimur reehal`aqeem
📖 Kwa Kiswahili
Na katika khabari za A'di tulipo wapelekea upepo wa kukata uzazi.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 39-43 — Adh-Dhariyat

39فَتَوَلَّىٰ بِرُكْنِهِ وَقَالَ سَاحِرٌ أَوْ مَجْنُونٌ
Lakini alipuuza kwa sababu ya nguvu zake na akasema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu!
40فَأَخَذْنَاهُ وَجُنُودَهُ فَنَبَذْنَاهُمْ فِي الْيَمِّ وَهُوَ مُلِيمٌ
Basi tukamkamata yeye na majeshi yake na tukawatupa baharini, na yeye ndiye wa kulaumiwa.
41وَفِي عَادٍ إِذْ أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمُ الرِّيحَ الْعَقِيمَ
Na katika khabari za A'di tulipo wapelekea upepo wa kukata uzazi.
42مَا تَذَرُ مِن شَيْءٍ أَتَتْ عَلَيْهِ إِلَّا جَعَلَتْهُ كَالرَّمِيمِ
Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka.
43وَفِي ثَمُودَ إِذْ قِيلَ لَهُمْ تَمَتَّعُوا حَتَّىٰ حِينٍ
Na katika khabari za Thamudi walipo ambiwa: Jifurahisheni kwa muda mdogo tu.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
41Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 41

Sura Adh-Dhariyat Aya 41 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na katika khabari za A'di tulipo wapelekea upepo wa kukata…

Sura Aya 41/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 39–43. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema