Al-Waqi'a · 25/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
لَا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا وَلَا تَأْثِيمًا ۝٢٥
Laa yasma`oona feehaa laghwanw wa laa taaseemaa
📖 Kwa Kiswahili
Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 23-27 — Al-Waqi'a

23كَأَمْثَالِ اللُّؤْلُؤِ الْمَكْنُونِ
Walio kama mfano wa lulu zilio hifadhiwa.
24جَزَاءً بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
25لَا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا وَلَا تَأْثِيمًا
Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi,
26إِلَّا قِيلًا سَلَامًا سَلَامًا
Isipo kuwa maneno ya Salama, Salama.
27وَأَصْحَابُ الْيَمِينِ مَا أَصْحَابُ الْيَمِينِ
Na wale wa mkono wa kulia, ni yepi yatakuwa ya wa kuliani?
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
25Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 25

Sura Al-Waqi'a Aya 25 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi,

Sura Aya 25/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 23–27. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema