Al-Waqi'a · 24/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
جَزَاءً بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ ۝٢٤
Jazaaa`am bimaa kaanoo ya`maloon
📖 Kwa Kiswahili
Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 22-26 — Al-Waqi'a

22وَحُورٌ عِينٌ
Na Mahurulaini,
23كَأَمْثَالِ اللُّؤْلُؤِ الْمَكْنُونِ
Walio kama mfano wa lulu zilio hifadhiwa.
24جَزَاءً بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
25لَا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا وَلَا تَأْثِيمًا
Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi,
26إِلَّا قِيلًا سَلَامًا سَلَامًا
Isipo kuwa maneno ya Salama, Salama.
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
24Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 24

Sura Al-Waqi'a Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.

Sura Aya 24/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema