Al-Qiyama · 30/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
إِلَىٰ رَبِّكَ يَوْمَئِذٍ الْمَسَاقُ ۝٣٠
Ilaa rabbika yawma`izinil masaaq
📖 Kwa Kiswahili
Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 28-32 — Al-Qiyama

28وَظَنَّ أَنَّهُ الْفِرَاقُ
Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
29وَالْتَفَّتِ السَّاقُ بِالسَّاقِ
Na utapo ambatishwa muundi kwa muundi,
30إِلَىٰ رَبِّكَ يَوْمَئِذٍ الْمَسَاقُ
Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!
31فَلَا صَدَّقَ وَلَا صَلَّىٰ
Kwa sababu hakusadiki, wala hakusali.
32وَلَٰكِن كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ
Bali alikanusha, na akageuka.
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
30Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 30

Sura Al-Qiyama Aya 30 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!

Sura Aya 30/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 28–32. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema