Al-Insan · 14/31
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Insan
وَدَانِيَةً عَلَيْهِمْ ظِلَالُهَا وَذُلِّلَتْ قُطُوفُهَا تَذْلِيلًا ۝١٤
Wa daaniyatan `alaihim zilaaluhaa wa zullilat qutoofu haa tazleela
📖 Kwa Kiswahili
Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada ya matunda yataning'inia mpaka chini.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 12-16 — Al-Insan

12وَجَزَاهُم بِمَا صَبَرُوا جَنَّةً وَحَرِيرًا
Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.
13مُّتَّكِئِينَ فِيهَا عَلَى الْأَرَائِكِ ۖ لَا يَرَوْنَ فِيهَا شَمْسًا وَلَا زَمْهَرِيرًا
Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.
14وَدَانِيَةً عَلَيْهِمْ ظِلَالُهَا وَذُلِّلَتْ قُطُوفُهَا تَذْلِيلًا
Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada ya matunda yataning'inia mpaka chini.
15وَيُطَافُ عَلَيْهِم بِآنِيَةٍ مِّن فِضَّةٍ وَأَكْوَابٍ كَانَتْ قَوَارِيرَا
Na watapitishiwa vyombo vya fedha na vikombe vya vigae,
16قَوَارِيرَ مِن فِضَّةٍ قَدَّرُوهَا تَقْدِيرًا
Vya fedha safi kama kiyoo, wamevipima kwa vipimo.
Al-InsanFaharasa ya Qurani
31Aya
MadinaRevelation
14Aya

Tafsiri — Al-Insan 14

Sura Al-Insan Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada ya matunda…

Sura Aya 14/31 — Al-Insan الإنسان (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Insan Sikiliza, Al-Insan Tafsiri, Al-Insan mp3, Al-Insan pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema