An-Naba · 28/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
وَكَذَّبُوا بِآيَاتِنَا كِذَّابًا ۝٢٨
Wa kazzabu bi aayaa tina kizzaba
📖 Kwa Kiswahili
Na wakikanusha Aya zetu kwa nguvu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 26-30 — An-Naba

26جَزَاءً وِفَاقًا
Ndio jaza muwafaka.
27إِنَّهُمْ كَانُوا لَا يَرْجُونَ حِسَابًا
Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.
28وَكَذَّبُوا بِآيَاتِنَا كِذَّابًا
Na wakikanusha Aya zetu kwa nguvu.
29وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ كِتَابًا
Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.
30فَذُوقُوا فَلَن نَّزِيدَكُمْ إِلَّا عَذَابًا
Basi onjeni! Nasi hatutakuzidishieni ila adhabu!
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
28Aya

Tafsiri — An-Naba 28

Sura An-Naba Aya 28 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wakikanusha Aya zetu kwa nguvu.

Sura Aya 28/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 26–30. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema