An-Naba · 29/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ كِتَابًا ۝٢٩
Wa kulla shai-in ahsai naahu kitaa ba
📖 Kwa Kiswahili
Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 27-31 — An-Naba

27إِنَّهُمْ كَانُوا لَا يَرْجُونَ حِسَابًا
Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.
28وَكَذَّبُوا بِآيَاتِنَا كِذَّابًا
Na wakikanusha Aya zetu kwa nguvu.
29وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ كِتَابًا
Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.
30فَذُوقُوا فَلَن نَّزِيدَكُمْ إِلَّا عَذَابًا
Basi onjeni! Nasi hatutakuzidishieni ila adhabu!
31إِنَّ لِلْمُتَّقِينَ مَفَازًا
Hakika wachamngu wanastahiki kufuzu,
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
29Aya

Tafsiri — An-Naba 29

Sura An-Naba Aya 29 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.

Sura Aya 29/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 27–31. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema