An-Naba · 27/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
إِنَّهُمْ كَانُوا لَا يَرْجُونَ حِسَابًا ۝٢٧
Innahum kaanu laa yarjoona hisaaba
📖 Kwa Kiswahili
Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 25-29 — An-Naba

25إِلَّا حَمِيمًا وَغَسَّاقًا
Ila maji yamoto sana na usaha,
26جَزَاءً وِفَاقًا
Ndio jaza muwafaka.
27إِنَّهُمْ كَانُوا لَا يَرْجُونَ حِسَابًا
Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.
28وَكَذَّبُوا بِآيَاتِنَا كِذَّابًا
Na wakikanusha Aya zetu kwa nguvu.
29وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ كِتَابًا
Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
27Aya

Tafsiri — An-Naba 27

Sura An-Naba Aya 27 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.

Sura Aya 27/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 25–29. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema