An-Nazi'at · 30/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
وَالْأَرْضَ بَعْدَ ذَٰلِكَ دَحَاهَا ۝٣٠
Wal arda b`ada zaalika dahaaha
📖 Kwa Kiswahili
Na juu ya hivyo ameitandaza ardhi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 28-32 — An-Nazi'at

28رَفَعَ سَمْكَهَا فَسَوَّاهَا
Akainua kimo chake, na akaitengeneza vizuri.
29وَأَغْطَشَ لَيْلَهَا وَأَخْرَجَ ضُحَاهَا
Na akautia giza usiku wake, na akautokeza mchana wake.
30وَالْأَرْضَ بَعْدَ ذَٰلِكَ دَحَاهَا
Na juu ya hivyo ameitandaza ardhi.
31أَخْرَجَ مِنْهَا مَاءَهَا وَمَرْعَاهَا
Akatoa ndani yake maji yake na malisho yake,
32وَالْجِبَالَ أَرْسَاهَا
Na milima akaisimamisha,
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
30Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 30

Sura An-Nazi'at Aya 30 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na juu ya hivyo ameitandaza ardhi.

Sura Aya 30/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 28–32. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema