An-Nazi'at · 31/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
أَخْرَجَ مِنْهَا مَاءَهَا وَمَرْعَاهَا ۝٣١
Akhraja minha maa-aha wa mar `aaha
📖 Kwa Kiswahili
Akatoa ndani yake maji yake na malisho yake,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 29-33 — An-Nazi'at

29وَأَغْطَشَ لَيْلَهَا وَأَخْرَجَ ضُحَاهَا
Na akautia giza usiku wake, na akautokeza mchana wake.
30وَالْأَرْضَ بَعْدَ ذَٰلِكَ دَحَاهَا
Na juu ya hivyo ameitandaza ardhi.
31أَخْرَجَ مِنْهَا مَاءَهَا وَمَرْعَاهَا
Akatoa ndani yake maji yake na malisho yake,
32وَالْجِبَالَ أَرْسَاهَا
Na milima akaisimamisha,
33مَتَاعًا لَّكُمْ وَلِأَنْعَامِكُمْ
Kwa nafuu yenu na mifugo yenu.
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
31Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 31

Sura An-Nazi'at Aya 31 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akatoa ndani yake maji yake na malisho yake,

Sura Aya 31/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 29–33. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema