An-Nazi'at · 29/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
وَأَغْطَشَ لَيْلَهَا وَأَخْرَجَ ضُحَاهَا ۝٢٩
Wa aghtasha lailaha wa akhraja duhaaha
📖 Kwa Kiswahili
Na akautia giza usiku wake, na akautokeza mchana wake.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 27-31 — An-Nazi'at

27أَأَنتُمْ أَشَدُّ خَلْقًا أَمِ السَّمَاءُ ۚ بَنَاهَا
Je! Ni vigumu zaidi kukuumbeni nyinyi au mbingu? Yeye ndiye aliye ijenga!
28رَفَعَ سَمْكَهَا فَسَوَّاهَا
Akainua kimo chake, na akaitengeneza vizuri.
29وَأَغْطَشَ لَيْلَهَا وَأَخْرَجَ ضُحَاهَا
Na akautia giza usiku wake, na akautokeza mchana wake.
30وَالْأَرْضَ بَعْدَ ذَٰلِكَ دَحَاهَا
Na juu ya hivyo ameitandaza ardhi.
31أَخْرَجَ مِنْهَا مَاءَهَا وَمَرْعَاهَا
Akatoa ndani yake maji yake na malisho yake,
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
29Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 29

Sura An-Nazi'at Aya 29 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na akautia giza usiku wake, na akautokeza mchana wake.

Sura Aya 29/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 27–31. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema