At-Takwir · 18/29
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Takwir
وَالصُّبْحِ إِذَا تَنَفَّسَ ۝١٨
Wassubhi izaa tanaffas
📖 Kwa Kiswahili
Na kwa asubuhi inapo pambazuka,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 16-20 — At-Takwir

16الْجَوَارِ الْكُنَّسِ
Zinazo kwenda, kisha zikajificha,
17وَاللَّيْلِ إِذَا عَسْعَسَ
Na kwa usiku unapo pungua,
18وَالصُّبْحِ إِذَا تَنَفَّسَ
Na kwa asubuhi inapo pambazuka,
19إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
20ذِي قُوَّةٍ عِندَ ذِي الْعَرْشِ مَكِينٍ
Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi,
At-TakwirFaharasa ya Qurani
29Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — At-Takwir 18

Sura At-Takwir Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwa asubuhi inapo pambazuka,

Sura Aya 18/29 — At-Takwir التكوير (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Takwir Sikiliza, At-Takwir Tafsiri, At-Takwir mp3, At-Takwir pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema