At-Takwir · 19/29
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Takwir
إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ ۝١٩
Innahoo laqawlu rasoolin kareem
📖 Kwa Kiswahili
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 17-21 — At-Takwir

17وَاللَّيْلِ إِذَا عَسْعَسَ
Na kwa usiku unapo pungua,
18وَالصُّبْحِ إِذَا تَنَفَّسَ
Na kwa asubuhi inapo pambazuka,
19إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
20ذِي قُوَّةٍ عِندَ ذِي الْعَرْشِ مَكِينٍ
Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi,
21مُّطَاعٍ ثَمَّ أَمِينٍ
Anaye t'iiwa, tena muaminifu.
At-TakwirFaharasa ya Qurani
29Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — At-Takwir 19

Sura At-Takwir Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe…

Sura Aya 19/29 — At-Takwir التكوير (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Takwir Sikiliza, At-Takwir Tafsiri, At-Takwir mp3, At-Takwir pdf. Aya 17–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema