At-Takwir · 17/29
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Takwir
وَاللَّيْلِ إِذَا عَسْعَسَ ۝١٧
Wallaili izaa `as`as
📖 Kwa Kiswahili
Na kwa usiku unapo pungua,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 15-19 — At-Takwir

15فَلَا أُقْسِمُ بِالْخُنَّسِ
Naapa kwa nyota zinapo rejea nyuma,
16الْجَوَارِ الْكُنَّسِ
Zinazo kwenda, kisha zikajificha,
17وَاللَّيْلِ إِذَا عَسْعَسَ
Na kwa usiku unapo pungua,
18وَالصُّبْحِ إِذَا تَنَفَّسَ
Na kwa asubuhi inapo pambazuka,
19إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
At-TakwirFaharasa ya Qurani
29Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — At-Takwir 17

Sura At-Takwir Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwa usiku unapo pungua,

Sura Aya 17/29 — At-Takwir التكوير (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Takwir Sikiliza, At-Takwir Tafsiri, At-Takwir mp3, At-Takwir pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema