Al-Fajr · 12/30
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Fajr
فَأَكْثَرُوا فِيهَا الْفَسَادَ ۝١٢
Fa aksaroo feehal fasaad
📖 Kwa Kiswahili
Wakakithirisha humo ufisadi?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 10-14 — Al-Fajr

10وَفِرْعَوْنَ ذِي الْأَوْتَادِ
Na Firauni mwenye vigingi?
11الَّذِينَ طَغَوْا فِي الْبِلَادِ
Ambao walifanya jeuri katika nchi?
12فَأَكْثَرُوا فِيهَا الْفَسَادَ
Wakakithirisha humo ufisadi?
13فَصَبَّ عَلَيْهِمْ رَبُّكَ سَوْطَ عَذَابٍ
Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.
14إِنَّ رَبَّكَ لَبِالْمِرْصَادِ
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
Al-FajrFaharasa ya Qurani
30Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — Al-Fajr 12

Sura Al-Fajr Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakakithirisha humo ufisadi?

Sura Aya 12/30 — Al-Fajr الفجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Fajr Sikiliza, Al-Fajr Tafsiri, Al-Fajr mp3, Al-Fajr pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema