Al-Fajr · 11/30
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Fajr
الَّذِينَ طَغَوْا فِي الْبِلَادِ ۝١١
Allazeena taghaw fil bilaad
📖 Kwa Kiswahili
Ambao walifanya jeuri katika nchi?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 9-13 — Al-Fajr

9وَثَمُودَ الَّذِينَ جَابُوا الصَّخْرَ بِالْوَادِ
Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?
10وَفِرْعَوْنَ ذِي الْأَوْتَادِ
Na Firauni mwenye vigingi?
11الَّذِينَ طَغَوْا فِي الْبِلَادِ
Ambao walifanya jeuri katika nchi?
12فَأَكْثَرُوا فِيهَا الْفَسَادَ
Wakakithirisha humo ufisadi?
13فَصَبَّ عَلَيْهِمْ رَبُّكَ سَوْطَ عَذَابٍ
Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.
Al-FajrFaharasa ya Qurani
30Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — Al-Fajr 11

Sura Al-Fajr Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ambao walifanya jeuri katika nchi?

Sura Aya 11/30 — Al-Fajr الفجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Fajr Sikiliza, Al-Fajr Tafsiri, Al-Fajr mp3, Al-Fajr pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema