Al-Balad · 11/20
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Balad
فَلَا اقْتَحَمَ الْعَقَبَةَ ۝١١
Falaq tahamal-`aqabah
📖 Kwa Kiswahili
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 9-13 — Al-Balad

9وَلِسَانًا وَشَفَتَيْنِ
Na ulimi, na midomo miwili?
10وَهَدَيْنَاهُ النَّجْدَيْنِ
Na tukambainishia zote njia mbili?
11فَلَا اقْتَحَمَ الْعَقَبَةَ
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
12وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْعَقَبَةُ
Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
13فَكُّ رَقَبَةٍ
Kumkomboa mtumwa;
Al-BaladFaharasa ya Qurani
20Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — Al-Balad 11

Sura Al-Balad Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.

Sura Aya 11/20 — Al-Balad البلد (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Balad Sikiliza, Al-Balad Tafsiri, Al-Balad mp3, Al-Balad pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema