Al-Balad · 10/20
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Balad
وَهَدَيْنَاهُ النَّجْدَيْنِ ۝١٠
Wa hadaynaahun najdayn
📖 Kwa Kiswahili
Na tukambainishia zote njia mbili?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 8-12 — Al-Balad

8أَلَمْ نَجْعَل لَّهُ عَيْنَيْنِ
Kwani hatukumpa macho mawili?
9وَلِسَانًا وَشَفَتَيْنِ
Na ulimi, na midomo miwili?
10وَهَدَيْنَاهُ النَّجْدَيْنِ
Na tukambainishia zote njia mbili?
11فَلَا اقْتَحَمَ الْعَقَبَةَ
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
12وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْعَقَبَةُ
Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
Al-BaladFaharasa ya Qurani
20Aya
MakkaRevelation
10Aya

Tafsiri — Al-Balad 10

Sura Al-Balad Aya 10 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tukambainishia zote njia mbili?

Sura Aya 10/20 — Al-Balad البلد (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Balad Sikiliza, Al-Balad Tafsiri, Al-Balad mp3, Al-Balad pdf. Aya 8–12. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema