Al-Balad · 12/20
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Balad
وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْعَقَبَةُ ۝١٢
Wa maaa adraaka mal`aqabah
📖 Kwa Kiswahili
Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 10-14 — Al-Balad

10وَهَدَيْنَاهُ النَّجْدَيْنِ
Na tukambainishia zote njia mbili?
11فَلَا اقْتَحَمَ الْعَقَبَةَ
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
12وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْعَقَبَةُ
Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
13فَكُّ رَقَبَةٍ
Kumkomboa mtumwa;
14أَوْ إِطْعَامٌ فِي يَوْمٍ ذِي مَسْغَبَةٍ
Au kumlisha siku ya njaa
Al-BaladFaharasa ya Qurani
20Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — Al-Balad 12

Sura Al-Balad Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?

Sura Aya 12/20 — Al-Balad البلد (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Balad Sikiliza, Al-Balad Tafsiri, Al-Balad mp3, Al-Balad pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema