Ash-Shams · 5/15
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shams
وَٱلسَّمَآءِ وَمَا بَنَىٰهَا  ۝٥
Wassamaaa`i wa maa banaahaa
📖 Kwa Kiswahili
Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 3-7 — Ash-Shams

3وَٱلنَّهَارِ إِذَا جَلَّىٰهَا 
Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
4وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَغۡشَىٰهَا 
Na kwa usiku unapo lifunika!
5وَٱلسَّمَآءِ وَمَا بَنَىٰهَا 
Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga!
6وَٱلۡأَرۡضِ وَمَا طَحَىٰهَا 
Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!
7وَنَفۡسٍ وَمَا سَوَّىٰهَا 
Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
Ash-ShamsFaharasa ya Qurani
15Aya
MakkaRevelation
5Aya

Tafsiri — Ash-Shams 5

Sura Aya 5/15 — Ash-Shams الشمس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shams Sikiliza, Ash-Shams Tafsiri, Ash-Shams mp3, Ash-Shams pdf. Aya 3–7. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema