Al-Humaza · 4/9
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Humaza
كَلَّا ۖ لَيُنبَذَنَّ فِي الْحُطَمَةِ ۝٤
Kalla layum ba zanna fil hutamah
📖 Kwa Kiswahili
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 2-6 — Al-Humaza

2الَّذِي جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُ
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
3يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُ أَخْلَدَهُ
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
4كَلَّا ۖ لَيُنبَذَنَّ فِي الْحُطَمَةِ
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
5وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْحُطَمَةُ
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
6نَارُ اللَّهِ الْمُوقَدَةُ
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
Al-HumazaFaharasa ya Qurani
9Aya
MakkaRevelation
4Aya

Tafsiri — Al-Humaza 4

Sura Al-Humaza Aya 4 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.

Sura Aya 4/9 — Al-Humaza الهمزة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Humaza Sikiliza, Al-Humaza Tafsiri, Al-Humaza mp3, Al-Humaza pdf. Aya 2–6. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema